Breaking

Sunday, 6 July 2025

CHATANDA ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU SABASABA

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Taifa (UWT)Ndg. Mary Chatanda leo tarehe 06 Julai,2025 ametembelea Banda Jumuishi ya Ofisi ya Waziri Mkuu lililopo katika Viwanja vya Maonesho ya 49 ya Biashara (SABASABA) yanayoendelea Jijini Dar wa Salaam.

Maonesho hayo yamebebwa na Kauli Mbiu isemayo; "Maonesho ya Biashara ya Kimataifa, Fahari ya Tanzania"
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages