Mawakili wa Serikali wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, wakiwa ndani ya banda la Maonesho la Ofisi hiyo tayari kuwahudumia wananchi na wadau wanaotembelea banda hilo wakati wa Maonesho ya Nanenane yaliyoanza leo tarehe 01 Agosti 2025, Jijini Dodoma.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990