Breaking

Wednesday, 18 June 2025

WAZIRI SIMBACHAWENE ATEMBELEA BANDA LA PBPA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA JIJINI DODOMA


WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. George Simbachawene,akipata maelezo kutoka kwa Afisa Logistiki wa Mafuta Bi. Hilda Kowero mara baada ya kutembelea banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma.

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. George Simbachawene,akipokea zawadi katika banda la PBPA mara baada ya kutembelea banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma.


WANANCHI mbalimbali wakipata elimu katika banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages