Breaking

Monday, 14 March 2022

RAIS SAMIA AFANYA TEUZI NANE.. AMTEUA POLEPOLE KUWA BALOZI





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu Machi 14, 2022 amefanya uteuzi wa viongozi nane katika nyanja mbali mbali.

Katika taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zuhura Yunus imesema kuwa Rais Samia amemteua Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania Nchi ya Jamhuri ya Malawi ambapo awali alikuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.




Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages