Breaking

Saturday, 17 January 2026

ADEM Yaweka Mkakati wa Kuimarisha Uongozi na Uwajibikaji wa Madiwani


Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mheshimiwa Petro Magoti akiwa kwenye picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa ADEM, Dkt. Maulid J. Maulid, Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe pamoja na Mwakilishi wa Madiwani wa Mkoa wa Pwani, mara baada ya kufunga mafunzo kwa Waheshimiwa Madiwani.

Mh. Magoti alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Kunenge, katika hafla ya kufunga mafunzo hayo yaliyolenga kuwawezesha Madiwani kutambua na kutekeleza vyema majukumu yao ya uwakilishi wa wananchi katika kata zao. 

Mafunzo hayo yalihusisha Madiwani kutoka Halmashauri za Wilaya za Mkuranga, Kibiti na Kisarawe.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages