KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres (kulia), akizungumza na Mjumbe Maalum na Mshauri wa Rais kuhusu Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kundi la Majadiliano la Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN), Dkt. Richard Muyungi, aliyekuwa akiongoza ujumbe wa mawaziri wanane wa Afrika kuwasilisha misimamo ya bara hilo katika majadiliano yanayoendelea kwenye mkutano wa COP30 uliofanyika Belem, Brazil, leo.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990


