Breaking

Thursday, 7 August 2025

TBS YAENDELEA KUTOA ELIMU YA UDHIBITI UBORA KWENYE MAONESHO NANE NANE MKOANI LINDI


Afisa Udhibiti Ubora (TBS) Bw. Ismail Laizer akitoa elimu kuhusu masuala ya viwango kwa wananchi waliohudhuria maonesho ya nanenane yaliyofanyika katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi.

TBS imewasisitiza wananchi kutotumia vipodizi vyenye viambata sumu kwa ajili ya usalama wa kiafya.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages