Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi Paul Joseph Blandy amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea Ubunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Wednesday, 2 July 2025
ENG. PAUL BLANDY AVUTA FOMU UBUNGE SHINYANGA MJINI
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990