Breaking

Wednesday, 18 June 2025

WAZIRI PROF. MKUMBO AONGOZA KIKAO CHA TUME YA TAIFA YA MIPANGO

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), leo ameongoza kikao cha pili cha Tume ya Taifa ya Mipango Jijini Dodoma.

Prof. Mkumbo ameongoza kikao hicho kilichojadili Mandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 na Mpango Elekezi wa Maendeleo wa Mmuda Mrefu (LTPP) kwa niaba ya Mwenyekiti wa Tume hiyo, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages