Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John 
Nchimbi akishiriki matukio mbalimbali wakati wa ratiba ya kutoa heshima 
za mwisho kuaga mwili wa Jenerali David Bugozi Musuguri (mkuu wa majeshi
 mstaafu), shughuli iliyofanyika Kambi ya Jeshi Lugalo, jijini Dar Es 
Salaam, na kuongozwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa 
Tanzania, Mhe. Dkt. Phillip Isdory Mpango, leo Ijumaa, 1 Novemba, 2024.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990












 
 
 
 
 
 
 
