Breaking

Tuesday, 8 March 2022

PICHA : MAADHIMISHO YA KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YALIYOFANYIKA KITAIFA ZANZIBAR



Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Zanzibar  Dkt. Husein Ali Mwinyi mara baada ya kuhutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo Kitaifa imefanyika katika Viwanja vya Maisara Zanzibar leo tarehe 08 Machi, 2022. 

Baadhi ya Viongozi mbalimbali waliohudhuria Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo Kitaifa imefanyika katika Viwanja vya Maisara Zanzibar leo tarehe 08 Machi, 2022. 


Baadhi ya Wananchi  mbalimbali waliohudhuria Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo Kitaifa imefanyika katika Viwanja vya Maisara Zanzibar leo tarehe 08 Machi, 2022. 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo Kitaifa imefanyika katika Viwanja vya Maisara Zanzibar leo tarehe 08 Machi, 2022. 



 Rais Samia Suluhu Hassan akipokea mwanandege kutoka kwa mtoto Mulhati Mahmoud aliyekuwa akicheza ngoma pamoja na wanakikundi wenzake katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani katika Viwanja vya Maisara Zanzibar leo tarehe 08 Machi, 2022. 

Rais Samia Suluhu Hassan akicheza pamoja na na Kikundi cha ngoma za asili cha Bomu kutoka Unguja wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo Kitaifa imefanyika katika Viwanja vya Maisara Zanzibar leo tarehe 08 Machi, 2022. 


Rais Samia Suluhu Hassan akiagana na Marais Wastaafu wa Zanzibar, Mhe. Amani Abeid Karume pamoja na Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein mara baada ya kuhutubia katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika katika Viwanja vya Maisara Zanzibar. 

Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Bi. Fatma Karume mke wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Mzee Abeid Amani Karume mara baada ya kuhutubia katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Maisara Zanzibar leo Machi 08, 2022. 



Rais Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Zanzibar Abeida Rashid Abdalla katika viwanja vya Maisara Zanzibar aliposhiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani leo Machi 08 , 2022. 

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages